Mafunzo 1st EAC-GIZ Masterclass Photography yaendelea Arusha
NAIBU Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), anayeshughulikia Shirikisho la Kisiasa, Dkt. Julius Rotich (kushoto) akifungua mafunzo ya siku tatu ya upigaji picha yajulikanayo kama ‘EAC-GIZ Master Class Photographers Training’ yaliyoanza Julai 23-26, 2012 mjini Arusha. Kulia ni Mkuu Mawasiliano na Mahusiano wa EAC, Owora Richard Othieno.
Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), anayeshughulikia Shirikisho la Kisiasa, Dkt. Julius Rotich(akifafanua jambo kwa waandishi juu ya Mafunzo ya Upigaji picha ‘EAC-GIZ Master Class Photographers Training’
Mkufunzi Mkuu wa Upigaji picha ambaye pia ni Mpigapicha kutoka Ujerumani ambaye anafanya shughuli zake nchini Kenya, Hartmut Fiebig akitoa maelekezo kwa wapigapicha.
Bruno Birakwate (kushoto) na Jennifer Muiruri wakisikiliza kwa makini mafunzo hayo
Wapigapicha wakiwa darasani wakifuatilia mafunzo
Mkufunzi Mkuu wa Upigaji picha ambaye pia ni Mpigapicha kutoka Ujerumani ambaye anafanya shughuli zake nchini Kenya, Hartmut Fiebig akitoa maelekezo kwa wapigapicha.
Mpigapicha Mroki Mroki kutoka Tanzania, akihojiwa na vyombo vya habari kuhusiana na mafunzo hayo ya Upigajipicha
Reviewed by crispaseve
on
06:24
Rating:
Post a Comment