Matukio Mbalimbali ya Rais Kikwete katika Mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Paul Kagame wa Rwanda wakati wa kikao maalum kilicojadili masuala ya Maziwa Makuu kilichofanyika jana jijini Addis Ababa Ethiopia. |
Jengo jipya la Makao Makuu ya Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa ambapo Mkutano wa 19 wa wakuu wan chi za umoja wa Afrika (AU) ulifanyika. |
Reviewed by crispaseve
on
04:02
Rating:
Post a Comment