Header AD

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA SHEMEJI YAKE MJINI LINDI LEO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akijumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika swala maalum ya kuswalia  mwili wa marehemu shemeji yake, Marehemu Amani Kinyozi (45),  aliyefariki Jumamosi iliyopita jijini Dar es salaam, na kuzikwa katika makaburi ya Mitandi mjini Lindi leo.
Rais Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya shemeji yake, Marehemu Amani Kinyozi, katika makaburi ya Mitandi mjini Lindi leo. PICHA NA IKULU
Reviewed by crispaseve on 12:00 Rating: 5

No comments

Post AD