Header AD

Rais mstaafu wa awamu ya tatu Mhe Benjamin Mkapa Awasili Mkoani Songea

  Kaimu mkuu wa mkoa wa Ruvuma Joseph Mkirikiti akimkaribisha  Rais mstaafu wa awamu ya tatu Mhe Benjamin Mkapa katika uwanja wa ndege wa Songea.
  Meya wa manispaa ya Songea mstahiki Charles Mhagama  akisamiana na rais mstaafu wa awamu wa tatu Mhe Benjamin Mkapas baada ya kutua  mjini Songea
 Kaimu mkuu wa mkoa wa Ruvuma Joseph Mkirikiti kushoto akimuongoza Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mhe Benjamin Mkapa kwenda kuangalia vikundi vya ngoma katika uwanja wa ndege mjini Songea.
Rais wa awamu ya tatu Mhe Benjamin Mkapa  akiangalia vikundi vya ngoma (havipo pichani)  katika uwanja wa ndege wa Songea akiwa na kaimu mkuu wa mkoa wa Ruvuma Mhe Joseph Mkirikiti. Katikati ni mwenyekiti wa CCM  mkoa Cornel Msuha kulia ni mama Anna Mkapa na wa pili kulia mke wa mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu Mama Afisa Mwambungu.
Reviewed by crispaseve on 08:12 Rating: 5

No comments

Post AD