Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr Jakaya Mrisho Kikwete azindua rasmi mradi wa majisafi na usafi wa mazingira eneo la Swaya Jijini Mbeya leo
Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anawasili eneo la Sweya mchana huu kwa ajili ya uzinduzi wa Mradi wa maji safi
Mamia ya watu waliofika Kuhudhuria na kushuhudia uzinduzi huo
Hili ndilo eneo ambapo Mh. Rais Jakaya Kikwete alifika na kuzindua Rasmi
Mh. Dr Rais Kikwete akisalimiana na Baadhi ya watu wanao husika na Mradi eneo hilo
Mh. Dr Jakaya kikwete akizungumza jambo wakati wa uzinduzi huo
Wageni waalikwa wakiwa wanashuhudia Tukio hilo
Mh. Rais akiwa anaonesha kitu
Eneo la mradi wa maji safi linavyo onekana kwa ukaribu zaidi Picha zote na Mbeya yetu Blog chini ya Tone Media www.blogszamikoa.blogspot.com
Reviewed by crispaseve
on
14:49
Rating:
Post a Comment