Header AD

WAZIRI MKUU AZINDUA MATREKTA SONGEA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasha trekta wakati alipozindua kampeni ya  kimkoa ya matumizi ya matrekta makubwa katika kilimo mkoa wa Ruvuma iliyofanyika kwenye  uwanja wa zimamoto mjini Songea Julai 7, 2012.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma wakati  alipozindua kampeni  ya kimkoa  ya matumizi  ya matrkta makubwa katika kilimo mkoani Ruvuma iliyofanyika kwenye uwanja wa zimamoto mjini Songea Julai 7,2012.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa  kampeni  ya  kimkoa ya matumizi  ya  Matrekta makubwa katika kilimo mkoani Ruvuma iliyofanyika kwenye  uwanja wa zimamoto mjini Songea Julai 7,2012.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua miche ya kahawa wakati alipotembelea shamba la katika kijiji cha Likopelo wilayani Songea vijijini Julai 7, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Reviewed by crispaseve on 06:06 Rating: 5

No comments

Post AD