WAZIRI MKUU AZINDUA MATREKTA SONGEA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasha trekta wakati alipozindua kampeni ya kimkoa ya matumizi ya matrekta makubwa katika kilimo mkoa wa Ruvuma iliyofanyika kwenye uwanja wa zimamoto mjini Songea Julai 7, 2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma wakati alipozindua kampeni ya kimkoa ya matumizi ya matrkta makubwa katika kilimo mkoani Ruvuma iliyofanyika kwenye uwanja wa zimamoto mjini Songea Julai 7,2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kampeni ya kimkoa ya matumizi ya Matrekta makubwa katika kilimo mkoani Ruvuma iliyofanyika kwenye uwanja wa zimamoto mjini Songea Julai 7,2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua miche ya kahawa wakati alipotembelea shamba la katika kijiji cha Likopelo wilayani Songea vijijini Julai 7, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Reviewed by crispaseve
on
06:06
Rating:
Post a Comment