SIMBA WAKIREJEA DAR KUTOKA KAMBINI ZANZIBAR KWA AJILI YA KUKIPIGA NA AZAM KESHO
Baadhi
ya wachezaji wa timu ya Simba, wakiwa katika Boti ya Kilimanjaro
wakitoka Mjini Zanzibar walikokuwa wameweka Kambi ya muda ya kujiwinda
na kujiandaa na mchezo wao na Azam, mchezo unaotarajia kuchezwa kesho
jijini Dar es Salaam. Kutoka (kushoto) ni Amri Kiemba (kulia) ni
Ramadhan Ledondo.
Mrisho Ngasa, pia ni miongoni mwa
wachezaji waliorejea jijini Dar es Salaam kutoka Zanzibar leo.
Juma Kaseja, akijisomea gazeti ndani
ya Boti ya Kilimanjaro.
Kigi Makassy, akijipumzisha.
Reviewed by crispaseve
on
02:33
Rating:
Post a Comment