TAASISI YA HASSAN MAAJAR YAKABIDHI MADAWATI 680 MKOANI NJOMBE
Mgeni
rasmi ambaye ni mkoa wa Njombe , Kapteni mstaafu Asery Msangi wa pili
mstari wa pili kutoka kushoto akiwa amekaa na watoto kwenye madawati
mara baada ya tafrija ya makabidhiano ya madawati 680 kutoka kwa Hassan
Maajar Trust na Tigo, yalitolewa katika Shule ya msingi Ruhuji kwa
wilaya za Njombe,Makete,Ludewa na Wangi’ngombe makabidhiano hayo
yalifanyika 22 Oktoba.
Mgeni rasmi, Kapteni mstaafu
Asery Msangi alikabidhi madawati kwa ma DC wa wilaya hizo tano na
kuwashukuru Tigo na Hassan Maajar Trust (HMT) kwa msaada huo wa
madawati iliyochangiwa na ‘Tigo Tuchange’ . Kutoka HMT alikuwepo
Mkurugenzi Zena Maajar Tenga na Kutoka Tigo Meneja Mauzo mkoa wa Iringa
Ladislaus Karlo
Mkuu
wa mkoa wa Njomba na Mgeni rasmi, Kapteni mstaafu Asery Msangi katikati
akiangalia moja ya madawati 680 yaliyotolewa kama msaada kwa shule za
mkoa huo, kulia ni Meneja Mauzo mkoa wa Iringa Ladislaus Karlo na
kushoto ni Mkurugenzi Hassan Maajar Trust Zena Maajar Tenga na mmoja
wa watoto wa shule hizo.
Wanafunzi wakifurahi msaada huo kwa
kutambua kuwa ni muhimu sana kwao ili waweze kupata elimu bila usumbufu
wa mahali pa kukaa.
Reviewed by crispaseve
on
01:57
Rating:
Post a Comment