KHADIJA KOPA AFIWA NA MUMEWE
Ndugu, jamaa na marafiki wakimfariji msanii na taarab na malkia wa
mipasho Tanzania Khadija omar Kopa alipokua kwenye chumba maalum cha
kupumzikia wageni kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya kupewa
taarifa ya kufiwa na mumewe Jafari Ali Yussuf aliyefariki Dunia leoa
alfajiri kutokana na ugonjwa, Bi Khadija Kopa alikua akitokea kwenye
maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani kitaifa yaliyoaadhimishwa
Namanyere Mkoani Rukwa jana.
Mkuu wa Mkoa Rukwa Eng. Stella Manyanya na watu wengine wakimfariji msanii na taarab na malkia wa mipasho Tanzania Khadija omar Kopa alipokua kwenye chumba maalum cha kupumzikia wageni kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya kupewa taarifa ya kufiwa na mumewe Jafari Ali Yussuf aliyefariki Dunia leoa alfajiri kutokana na ugonjwa, Bi Khadija Kopa alikua akitokea kwenye maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani kitaifa yaliyoaadhimishwa Namanyere Mkoani Rukwa
Reviewed by crispaseve
on
06:27
Rating:
Post a Comment