MAHAFALI YA KUFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI DARAJA LA KWANZA KOZI NAMBA 20 KWA ASKARI MAGEREZA YAFANA MKOANI MBEYA.
Kamishna
wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akipokea Salamu za heshima
kutoka kwa wahitimu wa mafunzo ya uongozi daraja la kwanza kozi namba
20 katika sherehe za kufunga mafunzo hayo yaliyo fanyika katika chuo cha
Magereza Kiwira Tukuyu Rungwe Mkoani Mbeya
Kamishna wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akikagua wahitimu wa mafunzo ya uongozi daraja la kwanza kozi
namba 20 katika sherehe za kufunga mafunzo hayo yaliyo fanyika katika
chuo cha Magereza Kiwira Tukuyu Rungwe Mkoani Mbeya
Kamishna
wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akimtunuku cheo cha Ukoplo
Askari B4448 Patric Babara kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo ya uongozi
daraja la kwanza kozi
namba 20 katika sherehe za kufunga mafunzo hayo yaliyo fanyika katika
chuo cha Magereza Kiwira Tukuyu Rungwe Mkoani Mbeya
Kamishna
wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akimtunuku cheti muhitimu
B7348 Patrick Chalemta aliye fanya vizuri masomo ya Darasani katika
mafunzo ya uongozi daraja la kwanza kozi
namba 20
Kamishna wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akimtunuku cheti
muhitimu aliye fanya viz
Reviewed by crispaseve
on
05:03
Rating:
Post a Comment