MWANAMUZIKI BRUNO MARS AFIWA NA MAMA YAKE MPENZI.
Picha inaonyesha kipindi Mwanamuziki Bruno Mars alipokuwa mdoogo, mama yake ni wakatikati waliokaa juu.
Kutoka kushoto wa pili ni marehemu mama yake akifuatiwa na Bruno Mars zamani .
Mama Mzazi wa Mwanamuziki wa Mwanamuziki Peter Gene Hernandez
maarufu kama Bruno Mars(28) aitwae Bernadette Hernandez ameripotiwa
kufariki dunia nyumbani kwake katika visiwa vya Hawaii baada ya tatizo
lilokuwa linamsumbua kwa muda mrefu la ubongo.
Mama Mzazi wa msanii huyo ambae alikuwa na
umri wa miaka 55 alifariki dunia siku ya jumamosi alihabarisha mtu wa
karibu wa msanii huyo ambaye hakupenda jina lake litajwe.
Kifo cha Mama mzazi wa Bruno Mars
Kimefuatia baada ya kutangazwa siku ya Ijumaa kwamba alikuwa
akisumbuliwa na Heart Attack baada ya kupelekwa katika Hospitali ya
Queens Medical Center mpk pale umauti ulipomkuta siku ya Jumamosi.
Reviewed by crispaseve
on
05:37
Rating:
Post a Comment