MWILI WA ALBERT MANGWAIR WAWASILI UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MWALIMU JULIUS NYERERE. VILIO NA MAJONZI VYATAWALA.
Mwanamuziki kutoka kundi la wateule
akiwa ameshiba msalaba wa Albert Mangwair baada ya mwili wake kuwasili
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl.Julius Nyerere.
Baadhi ya mashabiki na wapenzi wa
nyimbo za marehemu Albert Mangwair wakilia kwa uchungu Airport jijini
Dar es salaam baada ya mwili wa kipenzi cha watu kuwasili.
Pichani ni baadhi ya Watanzania wakiusubiria mwili wa marehemu
Albert mangwair kuwasili uwanja wa kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere.
Mmoja wa marafiki na msanii Mangwair Banana Zorro akihojiwa na mwandishi wa habari wakati wakiusubiria mwili wa marehemu huyo.
Reviewed by crispaseve
on
05:34
Rating:
Post a Comment