Header AD

Rais Kikwete alipowasili mjini Dodoma

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma juni 25, 2013 kwa ajili ya kuongoza kikao cha kamati Kuu ya CCM na Baraza la Mawaziri.
Rais Jakaya Kikwete akiwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma juni 25, 2013 kwa ajili ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM na Baraza la Mawaziri . Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu).
Reviewed by crispaseve on 06:00 Rating: 5

No comments

Post AD