Rais Kikwete alipowasili mjini Dodoma
Rais
Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda mara baada ya
kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma juni 25, 2013 kwa ajili ya
kuongoza kikao cha kamati Kuu ya CCM na Baraza la Mawaziri.
Rais
Jakaya Kikwete akiwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda mara baada ya
kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma juni 25, 2013 kwa ajili ya
kikao cha Kamati Kuu ya CCM na Baraza la Mawaziri . Kulia ni Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu).
Reviewed by crispaseve
on
06:00
Rating:
Post a Comment