Huyu ndie Mrembo wa Dunia (Miss World 2013) kutona nchini Philipino.
Mrembo
Megan Young kutoka nchini Philippino,leo afanikiwa kunyakua Taji la
Mrembo wa Dunia (Miss World 2013) katika onyesho kubwa lililomalizika
hivi punde huko nchini Indonesia.Mshindi wa Pili katika Taji hilo ni
Marine Lorphelin kutoka nchini Ufaransa na watatu ni Kutoka nchini
Ghana,Carranzar NaaOkailey Shooter.Chanzo Michuzi Blog
Reviewed by crispaseve
on
05:34
Rating:
Post a Comment