Header AD

Rais Kikwete ahutubia Umoja wa Mataifa New York, akutana na Ban Ki Moon, asaini kitabu cha maombolezo ubalozi wa kenya.

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kikao cha 68 cha Baraza kuu la Umoja wa Mataifa leo jijini New York Marekani.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kikao cha 68 cha Baraza kuu la Umoja wa Mataifa leo jijini New York Marekani. To read his full statement CLICK HERE
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban- Ki- Moon ofisini kwake muda mfupi kabla ya kuhutubia kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani leo mchana. Picha na Freddy Maro
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo kwenye ofisi za ubalozi wa Kenya wa kudumu katika Umoja wa Mataifa jijini New York jana kufuatia shambulizi la kigaidi katika sehemu ya biashara ya West Gate jijini Nairobi Kenya hivi karibuni.Kulia ni Naibu Balozi wa Kenya wa kudumu Umoja wa Mataifa(Deputy Permanent Representative) Mhe.Koki Muli Grignon.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwafariji wafanyakzi wa Ubalozi wa kudumu wa Kenya katika Umoja wa Kimataifa muda mfupi baada kusaini kitabu cha maombolezo katika ofisi za ubalozi huo jijini New York, Marekani leo mchana kufuatia shambulizi la kigaidi jijini Nairobi ambapo watu kadhaa walipoteza maisha. Picha na Freddy Maro

Reviewed by crispaseve on 05:54 Rating: 5

No comments

Post AD