Header AD

KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI ATEMBELEA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TANZANIA.


 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana (kulia) akimkaribisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam. 
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha wageni wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam,waliokaa kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw.Assah Mwambene na Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha wageni wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam,waliokaa kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw.Assah Mwambene na Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha wageni wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam,waliokaa kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw.Assah Mwambene na Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha wageni wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam,waliokaa kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw.Assah Mwambene na Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga(aliyekaa) katika studio ya TBC Taifa
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga(aliyekaa) katika studio ya TBC Taifa
 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Star Media Bw. Jack Zhou akimpa zawadi Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni
na Michezo Bi. Sihaba Nkinga, wakati alipotembelea Shirika la Utangazaji
Tanzania (TBC) leo Jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na wajumbe waliohudhuria ziara hiyo leo na kuwataka kuendelea kusimamia na kuboresha utendaji kazi wa shirika hilo
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na wajumbe waliohudhuria ziara hiyo leo na kuwataka kuendelea kusimamia na kuboresha utendaji kazi wa shirika hilo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na wajumbe waliohudhuria ziara hiyo leo na kuwataka kuendelea kusimamia na kuboresha utendaji kazi wa shirika hilo
KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI ATEMBELEA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TANZANIA. KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI ATEMBELEA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TANZANIA. Reviewed by crispaseve on 15:59 Rating: 5

No comments

Post AD