KAMPENI ZA CCM CHALINZE ZAZIDI KUSHIKA KASI
Mbunge
a Jimbo la Mchinga,Mh. Said Mtanda (kulia) akiwahutubia wananchi wa
kijiji cha Mindukene,Kata ya Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze leo
Machi 18,2014,wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge wa Jimbo la
Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete (wa pili kushoto
walioketi).Picha na Othman Michuzi,Chalinze.
Mgombea
Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete
(kushoto) akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Mindukene,Kata ya
Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze leo Machi 18,2014.Katika Mikutano
yake kwenye Vijiji vya Mindukene, Msigi na Kisanga ndani ya Jimbo
hilo,Ridhiwani Kikwete ameahidi kuhakikisha vijiji vyote kwenye jimbo
hilo vinakuwa na matrekta ili kuboresha kilimo.
Wananchi
wa Kijiji cha Mindukene,Kata ya Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze
wakimsikiliza kwa makini Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi
ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete.
Mgombea
Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete
akilakiwa na wanakijiji wa Kijiji cha Msigi Kata ya Talawanda ndani ya
Jimbo la Chalinze Machi 18,2014.
KAMPENI ZA CCM CHALINZE ZAZIDI KUSHIKA KASI
Reviewed by crispaseve
on
00:00
Rating:

Post a Comment