Header AD

Mtandao wa twitter kufungwa Uturuki


Twitter
Mtandao wa kijamii wa Twitter wafungwa Uturuki
Mtandao wa kijamii wa , Twitter, unafungwa nchini Uturuki , saa chache baada ya waziri mkuu , Recep Tayyip Erdogan, kuahidi kuuondoa .
Bwana Erdogan -- ambaye anakabiliwa na kashfa kubwa ya ufisadi aliwaambia maelfu ya wafuasi wake katika mkutano wa uchaguzi kuwa hajali kuhusu namna jamii ya kimataifa itakavyochukulia hatua yake .
Neelie Kroes, ambaye ni naibu rais wa tume ya muungano wa Ulaya amesema umamuzi wa kufungwa kwa mtandao huo ni wa kulaumiwa .

Serikali ya Bwana Erdogan imekuwa ikilalamika kuwa mtandao wa Twitter ulipuuza uamuzi wa mahakama ulioitaka viunganishi vya taarifa zake vinashukiwa kurekodi mawasiliano yake binafsi.Chanzo BBC Swahili
Mtandao wa twitter kufungwa Uturuki Mtandao wa twitter kufungwa Uturuki Reviewed by crispaseve on 05:30 Rating: 5

No comments

Post AD