Header AD

PICHA ZA TAMASHA LA DR.JOSE CHAMELEONE ‘TUBONGE 2014 LIVE CONCERT’ LILOFANYIKA NCHINI UGANDA.



Tubinge2Pichani ni jukwaa la lililotumika katika tamasha la Tubonge.
Baada ya kusubiriwa kwa kipindi kirefu,  hatimaye  tamasha kubwa la Tubonge liloandaliwa na msanii nguli wa muziki kutoka nchini  Uganda, Dr.Jose Chameleone limeacha  historia hapo jana katika viwanja vya ‘Lugogo Cricket Oval’ na kuhudhuriwa na umati wa watu  licha ya mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha .
Msanii kutoka Tanzania, Khaleed Mohamed ‘ T.I.D Mnyama’ alikuwa miongoni mwa wageni walihudhuria tamasha hilo kubwa ambalo pia liliwapa nafasi wasanii nchini humo kukonga nyoyo za mashabiki akiwemo Bobi Wine, kaka wa Chameleone, Ak47, kundi la GoodLyfe linaloundwa na Weasle na Radio,  David Lutaalo, Xess Kayemba, Kenzo na  wasanii chipukizi waliopo kwenye lebo yake ya Leone Island, Diziza, Diziza VIP na wengine kibao .

Tubonge1
Pichani ni Jose Chameleone na TID Mnyama kabla ya kuanza kwa tamasha.Tubonge3

Tubonge4 -Chameleone akiwa na Ras Grace mtaalamu wa masuala ya Sound Technical

Dr.Jose Chameleone akiteta jambo na mtaalamu wa masuala ya sauti, Ras Grace .Tubonge5 Tubonge6 Tubonge7 Tubonge8 Tubonge9 Tubonge10
PICHA ZA TAMASHA LA DR.JOSE CHAMELEONE ‘TUBONGE 2014 LIVE CONCERT’ LILOFANYIKA NCHINI UGANDA. PICHA ZA TAMASHA LA DR.JOSE CHAMELEONE ‘TUBONGE 2014 LIVE CONCERT’ LILOFANYIKA NCHINI UGANDA. Reviewed by crispaseve on 16:16 Rating: 5

No comments

Post AD