PICHA: KAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akiandika huku akitafakari jambo wakati wa uzinduzi huo.
Meza kuu wakibadilishana mawazo.
Ini likiwa salama kabla ya kushambuliwa na virusi vya Hepatitis B.
Mmoja wa mapaparazi akijiandaa kuchukua matukio katika uzinduzi huo.
--
MKUU
wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick amezindua rasmi kampeni ya
kupambana na Ugonjwa wa Homa ya Ini katika Hospitali ya Amana, Ilala
jijini Dar es Salaam.
Kampeni
hiyo imeandaliwa na Kampuni ya Global Pulishers Ltd wakishirikiana na
Wizara ya Afya, SD Africa, Sanofi, Megra Clinic, Damu Salama na Tamsa.
Katika
uzinduzi huo, Mkuu wa Mkoa ambaye alikuwa mgeni rasmi, amewataka wadau
mbalimbali kuonyesha ushirikiano katika kupambana na ugonjwa huo hatari
kuliko HIV huku akiwaasa wananchi kuacha vitendo vinavyoweza kuleta
maambukizi ya ugonjwa huo unaombukizwa kwa njia sawa na za HIV.
PICHA ZOTE NA GPL
PICHA: KAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
Reviewed by crispaseve
on
22:26
Rating:
Post a Comment