SERIKALI KUFUFUA KIWANDA CHA MATAIRI CHA GENERAL TYRE
Timu ya wakaguzi wa miradi wa maendeleo wakiangalia mitambo ya kiwanda cha matairi cha General Tyre jijini Arusha
Katibu
Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (mwenye suti nyeusi)
akioneshwa moja ya mashine zilizokuwa zinatumika kutengenezea matairi
katika kiwanda cha General Tyre kilichopo
katika jiji la Arusha na Mwangalizi wa Kiwanda hich, Bw. Leonald Mgoyo.
Serikali ina mpango wa kukifufua kiwanda hicho baada ya kusimama
uzalishaji tangu mwaka 2007.
Katibu
Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (mwenye suti nyusi)
akiagana na Mwangalizi wa Kiwanda hicho, Bw Leonald Mgoyo baada ya
ukaguzi wa kiwanda hicho. Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la
Maendeleo la Taifa (NDC) Bw. Gideon Nasari na kushoto kwake ni Naibu
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango anayesimamia Klasta ya Uzalishaji, Bw
Maduka
Timu ya wakaguzi wa miradi ya maendeleo na baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda hicho wakifurahia jambo wakati wa ukaguzi huo.
Timu
ya wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Tume ya Mipango wakitazama
bidhaa zilizokuwa zikitengenezwa na kiwanda cha matairi cha General Tyre. Serikali ina mpango wa kufufua kiwanda hicho ambacho kilisimama uzalishaji tangu mwaka 2007.
SERIKALI KUFUFUA KIWANDA CHA MATAIRI CHA GENERAL TYRE
Reviewed by crispaseve
on
03:10
Rating:
Post a Comment