KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC
Kiungo
Frank Domayo aliyekuwa akikipiga Yanga SC leo amejiunga na klabu ya Azam
FC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo amejiunga na mabingwa hao
wa Tanzania Bara ikiwa ni siku moja tangu mshambuliaji wa Yanga na
nahodha wa timu ya Taifa ya Burundi, Didier Kavumbagu kujiunga na klabu
hiyo.
KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC
Reviewed by crispaseve
on
13:23
Rating:
Post a Comment