PRODUCER P-FUNK MAJANI AVUTA JIKO
Mtengenezaji nguli wa midundo ya Hip Hop na mmiliki wa studio
ya Bongo Records, Paul Matthysse AKA ‘P-funk Majani’ aliyekuwa
zilipendwa wa muigizaji nyota Kajala Masanja, hatimaye amefunga ndoa
halali ya kidini hapo jana na kuagana rasmi na maisha ukapela.
”Mrs Matthysse’s turn to put a ring on my finger.”
aliandika Majani kupitia ukurasa wake wa Instagram. Blogu ya Bamiza Blog inawapa hongera Mr& Mrs Matthysse’s kwa hatua nzuri
waliyofikia.
Parveen & Tycoon Shah ni miongoni mwa watu wa karibu wa P-Funk waliohudhuria sherehe hizo.
PRODUCER P-FUNK MAJANI AVUTA JIKO
Reviewed by crispaseve
on
06:23
Rating:
Post a Comment