Header AD

DIAMOND AHAIDI KUWATENDEA HAKI KILA MWAKA WAKAZI WA KUSINI


Mwanamuziki Mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini Diamond Platinum,akiwapagawisha mashabiki wake wa mkoa wa mtwara waliofurika katika Tamasha la Ties & Heels lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika kwenye ukumbi wa Makonde beach Mkoani Mtwara jana.

Mwanamuziki Mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini Diamond Platinum,akicheza na madansa wake wakati wa  Tamasha la Ties & Heels lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika kwenye ukumbi wa Makonde beach Mkoani Mtwara…
DIAMOND AHAIDI KUWATENDEA HAKI KILA MWAKA WAKAZI WA KUSINI DIAMOND AHAIDI KUWATENDEA HAKI KILA MWAKA WAKAZI WA KUSINI Reviewed by crispaseve on 03:49 Rating: 5

No comments

Post AD