KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA VILAINISHI VYA CASTROL NA KITUO CHA MAFUTA CHA OYSTERBAY, DAR
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya PUMA Energy Tanzania, Bw. Phillipe
Corsaletti akiongea katika uzinduzi wa Vilainishi vya Castrol
vilivyoendana na uzinduzi wa kituo kipya cha Mafuta kilichopo Oysterbay
jijini Dar es Salaam.
Wageni
na wafanyakazi wa kampuni ya PUMA Energy Tanzania wakifuatilia uzinduzi
wa Vilainishi vya Castrol vilivyoendana na uzinduzi wa kituo kipya cha
Mafuta kilichopo Masaki jijini Dar es Salaam.
KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA VILAINISHI VYA CASTROL NA KITUO CHA MAFUTA CHA OYSTERBAY, DAR
Reviewed by crispaseve
on
02:16
Rating:

Post a Comment