Header AD

TIMU YA NETIBOLI YA UTUMISHI YAPONGEZWA KWA KUNYAKUA UBINGWA MEIMEOSI 2014

 Waziri wa Nchi  Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (Mb) akikabidhiwa kombe la ubingwa wa mpira wa Pete la Mei Mosi 2014 kutoka kwa Kapteni wa timu Elizabeth Fusi katika hafla fupi aliyoiandaa kuwapongeza mabingwa hao iliyofanyika ofisini kwake mapema leo
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Bw. HAB Mkwizu akimkaribisha mgeni rasmi  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (kushoto) kuongea na wachezaji wa ofisi yake na watumishi katika hafla fupi aliyoiandaa kuipongeza timu ya Utumishi kwa kuwa mabingwa wa Mpira wa Pete, Mei Mosi 2014 iliyofanyika ofisini kwake mapema leo 
 Wachezaji wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, pamoja na wafanyakazi wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (Mb), hayupo pichani katika hafla fupi ya kuipongeza timu ya Mpira wa Pete kwa kunyakua kombe la Mei Mosi 2014 iliyofanyika ofisini hapo mapema leo.
 Watumishi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma  wakisimama kwa dakika moja kumkumbuka mwenzao wa Ofisi ya Rais-Ikulu aliyepoteza maisha ghafla siku ya Mei Mosi 2014. 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb)  (katikati)  akisimama pamoja na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu (kushoto ) na Mwenyekiti wa timu ya Mpira wa Pete ya Utumishi Bw. Lumuli  Mtaki  (kulia) kumkumbuka mtumishi wa Ofisi ya Rais-Ikulu aliyepoteza maisha ghafla siku ya Mei Mosi 2014.
TIMU YA NETIBOLI YA UTUMISHI YAPONGEZWA KWA KUNYAKUA UBINGWA MEIMEOSI 2014 TIMU YA NETIBOLI YA UTUMISHI YAPONGEZWA KWA KUNYAKUA UBINGWA MEIMEOSI 2014 Reviewed by crispaseve on 03:20 Rating: 5

No comments

Post AD