Header AD

VETA YASHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI KATIKA UWANJA WA UHURU HAPO JANA


Baadhi ya magari ya VETA yakipita mbele ya Jukwaa kuu alilokuwa Amekaa Mgeni rasmi ambae pia ni Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa maandamano ya Mgari yaliyokuwa yakiingia ndani ya uwanja wa Uhuru Kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.
Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Eng Zebadiah Moshi (katikati) akifuatilia kwa makini zoezi la utoaji wa zawadi kwa wafanyakazi bora wa Mwaka ambapo Mmoja wa wafanyakazi kutoka VETA aliweza kukabishiwa Zawadi zake na Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika jana katika Uwanja wa Uhuru , Jijini Dar Es salaam.
 BAadhi ya wafanyakazi wa Veta wakiwa katika Moja ya Jukwaa la Uwanja wa Uhuru wakifuatilia maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambapo kitaifa yalifanyika Katika Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar Es Salaam jana.
 Baadhi ya wadau wa Veta wakiwa katika picha ya pamoja
VETA YASHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI KATIKA UWANJA WA UHURU HAPO JANA VETA YASHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI KATIKA UWANJA WA UHURU HAPO JANA Reviewed by crispaseve on 04:52 Rating: 5

No comments

Post AD