Header AD

VIONGOZI WA DINI WAWASILI KUTOKA NCHINI THAILAND

Baadhi ya viongozi wa dini kutoka katika Mikoa ya Lindi na Mtwara wakiwasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) kutokea nchini Thailand. Viongozi hao walifanya ziara nchini humo kwa ajili ya kujifunza na kupata uzoefu wa uendelezaji wa sekta ya gesi.
Viongozi wa dini wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) kutokea nchini Thailand.
Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Abdallah Hamis Ulega akizungumza na waandishi wa habari jinsi wananchi wa Thailand walivyonufaika na rasilimali ya gesi.

VIONGOZI WA DINI WAWASILI KUTOKA NCHINI THAILAND VIONGOZI WA DINI WAWASILI KUTOKA NCHINI THAILAND Reviewed by crispaseve on 11:52 Rating: 5

No comments

Post AD