Header AD

VODACOM YACHANGIA MWENGE WA UHURU


Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe akiongea ofisini kwake mjini Bukoba wakati wa hafla fupi ya kupokea mchango wa Sh. 10 Milioni kutoka kampuni ya Vodacom Tanzania kwa ajili ya kuchangia sherehe ya uwashaji mwenge wa Uhuru kitaifa iliyofanyika Mkoani humo. Kutoka kushoto Ni Mkuu wa Vodacom Kanda ya Ziwa Domician Mkama, Mkuu wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule na Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampuni hioyo Salum Mwalim. 

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe akihakiki…
VODACOM YACHANGIA MWENGE WA UHURU VODACOM YACHANGIA MWENGE WA UHURU Reviewed by crispaseve on 03:41 Rating: 5

No comments

Post AD