WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APOKEA NISHANI YA HESHIMA NCHINI NIGERIA
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo mapema Machi mwaka huu
alikabidhiwa nishani ya kumbukumbu ya Profesa M.O. Oyawoye aliyewahi kuwa
Profesa wa kwanza duniani kutoka Bara la Afrika katika masuala ya jiolojia huko
nchini Nigeria. Profesa Muhongo alikabidhiwa nishani hiyo na timu ya wanajiolojia kwa
kutambua mchango wake mkubwa barani Afrika na duniani kwa ujumla. Nishani hiyo
alikabidhiwa balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mhe. Daniel Ole Njoolay kwa niaba yake.
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akiwa ofisini kwake huku akiwa
amevaa nishani hiyo
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APOKEA NISHANI YA HESHIMA NCHINI NIGERIA
Reviewed by crispaseve
on
00:32
Rating:

Post a Comment