CHRIS BROWN AKARIBISHWA URAIANI NA BONGE LA PATI

Katika sherehe hiyo kulikuwa pia na sapraizi ya aina yake
kutoka kwa mpenzi wake mwanamitindo Karrrueche Tran aliyemfumba macho
kwa kutumia kitambaa chekundu na kumpeleka mpaka eneo walilokuwepo
wageni waalikwa ambao Brown hakutegemea kama wangeweza kutokea akiwemo
mwanafamilia wa Young Money, Rapa Tyga, T-Pain, Big Sean, Jas Prince Jr,
Amber Ross pamoja na C.E.O wa lebo ya Konvict Akon…Jionee mwenyewe
picha na video hapo chini …
Chris Brown na T-Pain
CHRIS BROWN AKARIBISHWA URAIANI NA BONGE LA PATI
Reviewed by crispaseve
on
00:11
Rating:
Post a Comment