Header AD

SOMA HOTUBA YA KATIBU MKUU KIONGOZI, BALOZI OMBENI Y. SEFUE AKIFUNGA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM, TAREHE 23 JUNE, 2014



Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue
---
HOTUBA YA KATIBU MKUU KIONGOZI, BALOZI OMBENI Y. SEFUE AKIFUNGA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM, TAREHE 23 JUNE, 2014
  __________________________


Bwana George Yambesi, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, UTUMISHI;
Ndugu Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu Mliopo;
Ndugu Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam;
Wakuu wa Taasisi za Umma;
Ndugu Washiriki wa Maonyesho ya Wiki ya Utumishi Wa Umma;
Wageni Waalikwa;
Ndugu Waandishi wa Habari;
Mabibi na Mabwana,
Habari za Mchana!

Napenda nianze kwa kukushukuruni kwa kunipa nafasi hii ya kuwa Mgeni Rasmi kwenye Kilele cha Sherehe za Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma nchini kwa mwaka 2014.  
SOMA HOTUBA YA KATIBU MKUU KIONGOZI, BALOZI OMBENI Y. SEFUE AKIFUNGA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM, TAREHE 23 JUNE, 2014 SOMA HOTUBA YA KATIBU MKUU KIONGOZI, BALOZI OMBENI Y. SEFUE AKIFUNGA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM, TAREHE 23 JUNE, 2014 Reviewed by crispaseve on 00:56 Rating: 5

No comments

Post AD