Header AD

Dismas Lyassa kuwania Urais COTWU kanda ya Dar es salaam


Mhariri wa masuala ya Biashara wa gazeti la Mwananchi na Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Mawasiliano na Uchukuzi Tanzania (COTWU-T) Tawi la Mwananchi Communications Limited, Dismas Lyassa (kulia) akirudisha fomu ya kugombea Urais  wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) kwa Katibu Mkuu wa COTWU Kanda ya Dar es Salaam, Musa Mwakalinga, jana ofisini kwake (kwa Mwakalinga). Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Agosti 4-5, mwaka huu mkoani Dodoma. 
Picha na Khamis Tembo.
Dismas Lyassa kuwania Urais COTWU kanda ya Dar es salaam Dismas Lyassa kuwania Urais COTWU kanda ya Dar es salaam Reviewed by crispaseve on 10:28 Rating: 5

No comments

Post AD