MR NICE AFUNGUKA KUHUSU UTAJIRI WAKE WA BILIONI 1.5 NA JINSI ULIVYOTOWEKA GHAFLA
Mr.Nice akifunguka kuhusu utajiri wake
ulivyotoweka ghafla!. Katika hali yakushangaza, Lucas Mkenda au maarufu
kama Mr.Nice, finaly afunguka kuhusu utajiri wake na sababu za kushuka
kwake kimuziki, katika moja ya interview.
Mr.Nice alidai kuwa hajui ni nini haswa kilichotokea ila yote hayo ni mipango tu ya Mungu. Mr.nice alizidi kufunguka na kusema kuwa, alikuwa na jumla ya zaidi ya shilingi bilioni 1.5 zote zikiwa katika account mbalimbali hapa nchini, na hela zote hizo zimetoweka katika kipindi cha muda mfupi bila yeye kujua zimetumikaje.
Mr.Nice alidai kuwa hajui ni nini haswa kilichotokea ila yote hayo ni mipango tu ya Mungu. Mr.nice alizidi kufunguka na kusema kuwa, alikuwa na jumla ya zaidi ya shilingi bilioni 1.5 zote zikiwa katika account mbalimbali hapa nchini, na hela zote hizo zimetoweka katika kipindi cha muda mfupi bila yeye kujua zimetumikaje.
MR NICE AFUNGUKA KUHUSU UTAJIRI WAKE WA BILIONI 1.5 NA JINSI ULIVYOTOWEKA GHAFLA
Reviewed by crispaseve
on
09:05
Rating:

Post a Comment