Header AD

MTOTO ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE

Mimi Reppyson Ishababaki na mke wangu Elida Fundi. Tunapenda kutoa taarifa ya kupotea kwa mtoto wetu kipenzi Meryline Reppyson. Ameibiwa jana jioni na mtu tusiyemfahamu na hatujampata mpaka sasa hivi.

 Tunawaomba Watanzania na watu wote mtusaidie kumtafuta mtoto wetu. Maneno yanayosemwa kwamba kachukuliwa na baba yake si ya kweli kwani mimi ndiye baba yake mzazi na tunaishi pamoja na mke wangu. 

Asanteni sana kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
MTOTO ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE MTOTO ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE Reviewed by crispaseve on 09:38 Rating: 5

No comments

Post AD