Header AD

Airtel yazindua ofa kabambe ya simu wakati wa msimu wa sikukuu

Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi wa ofa kabambe ya simu kwa msimu huu wa sikukuu ya Krismasi, ambapo itawawezesha wateja wa Airtel kununua simu za kisasa kwa bei nafuu na kupata vifurushi vya bure vya muda wa maongezi, ujumbe mfupi na huduma ya intaneti. Kushoto ni Meneja Masoko wa Bidhaa za Kisasa wa Airtel, Prisca Tembo.
Meneja Masoko wa Bidhaa za Kisasa wa Airtel, Prisca Tembo (kushoto) na Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde wakionyesha kwa waandishi wa habari, baadhi ya simu za mkononi zilizo kwenye ofa kabambe ya simu kwa msimu huu wa sikukuu ya Krismasi, baada ya kuzindua ofa hiyo, jijini Dar es Salaam jana, ambapo itawawezesha wateja wa Airtel kununua simu za kisasa kwa bei nafuu na kupata vifurushi vya bure vya muda wa maongezi, ujumbe mfupi na huduma ya intaneti.
Airtel yazindua ofa kabambe ya simu wakati wa msimu wa sikukuu Airtel yazindua ofa kabambe ya simu wakati wa msimu wa sikukuu Reviewed by crispaseve on 04:00 Rating: 5

No comments

Post AD