Airtel yazindua ofa kabambe ya simu wakati wa msimu wa sikukuu

Ofisa
Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde akizungumza na waandishi wa
habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi wa ofa kabambe ya
simu kwa msimu huu wa sikukuu ya Krismasi, ambapo itawawezesha wateja wa
Airtel kununua simu za kisasa kwa bei nafuu na kupata vifurushi vya
bure vya muda wa maongezi, ujumbe mfupi na huduma ya intaneti. Kushoto
ni Meneja Masoko wa Bidhaa za Kisasa wa Airtel, Prisca Tembo.

Meneja
Masoko wa Bidhaa za Kisasa wa Airtel, Prisca Tembo (kushoto) na Ofisa
Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde wakionyesha kwa waandishi wa
habari, baadhi ya simu za mkononi zilizo kwenye ofa kabambe ya simu kwa
msimu huu wa sikukuu ya Krismasi, baada ya kuzindua ofa hiyo, jijini Dar
es Salaam jana, ambapo itawawezesha wateja wa Airtel kununua simu za
kisasa kwa bei nafuu na kupata vifurushi vya bure vya muda wa maongezi,
ujumbe mfupi na huduma ya intaneti.
Airtel yazindua ofa kabambe ya simu wakati wa msimu wa sikukuu
Reviewed by crispaseve
on
04:00
Rating:

Post a Comment