Header AD

Mamia wamzika Shem Karenga

 Baadhi ya wadau wa muziki wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa mwanamuziki mkongwe wa bendi ya Tabora Jazz, marehemu Shem Karenga wakati wa maziko yake yaliofanyika leo kwenye makaburi ya Kisutu, jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
 Ras Inocent Nganyagwa akitafakari jambo wakati wa maziko ya mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi marehemu Shem Karenga.
 Hassan Rehan Bichuka (kulia) akiwa na wanamuziki wenzake wa zamani wakibadilishana mawazo na Ankal walipokuwana katika maziko ya mwanamuziki nguli wa bendi ya Tabora Jazz, marehemu Shem Karenga.
 Ankal akiteta jambo na mwanamuziki mkongwe wa Band ya Sininde Ngoma ya Ukae.
 Mwili wa marehemu Shema Karenga ukiwasili katika makaburini ya Kisutu.
 Mamia ya waombolezaji wakielekea makaburini.
 Mwanamuziki mkongwe Kassim Mapili (katikati) akiwa na wadau wa muziki kulia ni mwanamuziki Tshimanga Asosa na kushoto ni mdau wa muziki Ankal Michuzi.
Mdau wa muziki John Jambele (kushoto) akiwa na Tshimanga Asosa
Mamia wamzika Shem Karenga Mamia wamzika Shem Karenga Reviewed by crispaseve on 00:22 Rating: 5

No comments

Post AD