Msimu wa pili wa tamthilia Siri ya Mtungi Wazinduliwa, kuonekana TBC
.jpg)
Mtayarishaji wa tamthilia ya Siri ya Mtungi Louise Kamin kutoka Shirika Lisilo la Kiserikali la Media
for Development International Tanzania (MFDI-TZ) akizungumza katika
mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na msimu wa pili na wa mwisho
wa tamthilia hiyo. Kutoka kulia kwa Kamin ni Karabani (Muongozaji),
Cheche (Muigizaji), Jordan Riber (Muongozaji). Kutoka kushoto ni
Goldliver Gordian (cheusi) na David Michael (Duma).
.jpg)
Cheche akizungumza katika mkutano huo.
.jpg)
Muongozaji wa tamthilia hiyo, Karabani akisisitiza jambo katika mkutano huo.
.jpg)
Muongozaji , Jordan Riber akifafanua jambo katika mkutano huo.
Msimu wa pili wa tamthilia Siri ya Mtungi Wazinduliwa, kuonekana TBC
Reviewed by crispaseve
on
06:51
Rating:
.jpg)
Post a Comment