HIVI NDIVYO SHOW YA DIAMOND ILIVYOTIA FORA HUKO RWANDA
Diamond Platnumz ameuanza vizuri mwaka mpya baada ya
kuwaangushia bonge la shoo wakazi wa Rwanda usiku wa Jan 01 waliokuwa
wamefurika kwenye uwanja wa Amahoro uliopo jijini Kigali nchini humo
ikiwa ni moja ya ziara yake kimuziki
Diamond aliyekuwa ameongoza na mpenzi wake Zari Katika shoo hiyo aliamua kuwasapraiz mashabiki kwa kulipandisha kundi la Mkubwa na wanae ambao wanaunda bendi ya Yamoto na kupelekea shangwe kuzidi kuwa kubwa zaidi. Tazama picha zaidi hapo chini
Diamond aliyekuwa ameongoza na mpenzi wake Zari Katika shoo hiyo aliamua kuwasapraiz mashabiki kwa kulipandisha kundi la Mkubwa na wanae ambao wanaunda bendi ya Yamoto na kupelekea shangwe kuzidi kuwa kubwa zaidi. Tazama picha zaidi hapo chini

Bango kubwa likiwa na picha ya Diamond nje ya uwanja wa ndege jijini Kigali nchini Rwanda

Mpenzi wa Diamond, zari akipigwa make-up kabla ya safari ya kuelekea uwanjani

Diamond na Zari wakitoka nje ya hoteli ya Serena kuelekea uwanjani

Diamond na Zari baada ya kutua uwanjani

Diamond na Zari wakitaniana

Diamond na Zari katika pozi

Wacheza shoo wa Diamond wakipiga dua

Wapambe wa Diamond na Zari katika pozi

Diamond(wa katikati) akiwa na memba wa Yamoto Band, Aslay Isihaka na Maromboso

Diamond akisalimiana na mashabiki wakati akielekea jukwaani

Shabiki wa kike akiwa amemkumbatia Diamond jukwaani

Hakutaka kumwachia

Shabiki mwingine wa kike akicheza sambamba na Diamond

Tatizo Nyotaaaa!!

Diamond akicheza na wacheza shoo wake

Diamond na mcheza shoo wake wakifanya yao jukwaani

Diamond akiimba pamoja na shabiki

Diamond akiimba kwa hisia

Umati wa watu uliofurika kwenye uwanja wa Amahoro

Diamond akiwapa ladha mashabiki
HIVI NDIVYO SHOW YA DIAMOND ILIVYOTIA FORA HUKO RWANDA
Reviewed by crispaseve
on
03:25
Rating:
Post a Comment