KAMATI YA BUNGE YA UKIMWI NA MADAWA YA KULEVYA YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA PSPF, WAFURAHISHWA NA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA.
Mkurugenzi
Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya
Bunge ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya Mhe. Lediana Mg'ong'o
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ukimwi na
Madawa ya Kulevya Mhe. Lediana Mg'ong'o akisisitiza jambo wakati
akizungumza na viongozi na watendaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF
wakati kamati anayoiongoza ilipotembelea makao makuu ya mfuko huo leo
jijini Dar es salaam.Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya PSPF,
Bw. George Yambesi na Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu.
Wajumbe wa Kamati ya ya Bunge ya Ukimwi na Madawa ya
Kulevya wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa mfuko wa
Pensheni wa PSPF mara baada ya kuhitimisha ziara yao makao makuu ya
mfuko huo jijini Dar es salaam.
KAMATI YA BUNGE YA UKIMWI NA MADAWA YA KULEVYA YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA PSPF, WAFURAHISHWA NA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA.
Reviewed by crispaseve
on
09:27
Rating:
Post a Comment