Header AD

Mtazame Alicia Keys akiongelea colabo na Wizkid

Akiwa kwenye Interview ya Radio mkali wa rnb Alicia Keys ambaye ni mke wa Producer Swizz Beats ameongelea colabo na Wiz Kid nakusema inawezekana na hakuna mipaka.
Mtangazaji aliuliza kuhusu Post ya Instagram ya colabo ya Alicia Keys na WizKid na Alicia alisema “Nampenda WizKid ,kuna muziki bado tunausikiliza,  muziki hauna mipaka ,Fela alishawishiwa sana na James Brown kwahio hakuna mahali muziki utashindwa kuishi
Interview ilikuwa kwneye kipindi cha Oldman Ebro on Apple’s Beats 1 radio.
Mtazame Alicia Keys akiongelea colabo na Wizkid Mtazame Alicia Keys akiongelea colabo na Wizkid Reviewed by crispaseve on 00:42 Rating: 5

No comments

Post AD