SPIKA NDUGAI APATA UGENI KUTOKA BUNGE LA MSUMBIJI LEO OFISINI KWAKE MJINI DODOMA
Spika
wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Kiongozi wa
Msafara na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na
Serikali za Mitaa kutoka Bunge la Msumbiji, Mhe. Lucas Jeremias
(katikati) pale ugeni kutoka kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na
Serikali za Mitaa kutoka Bunge la Msumbiji ulipomtembelea leo Ofisini
kwake Mjini Dodoma, kulia ni Mjumbe wa kamati hiyo Mhe. Beatriz
Chaguala.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akisisitiza jambo mbele
ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kutoka
Bunge la Msumbiji uliomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma, katikati
ni Kiongozi wa Msafara na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya
Utawala na Serikali za Mitaa kutoka Bunge la Msumbiji, Mhe. Lucas
Jeremias na kulia ni Mjumbe wa kamati hiyo Mhe. Beatriz Chagula.
Spika
wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akizungumza mbele ya kamati
ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kutoka Bunge la
Msumbiji ulipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma, wa pili kushoto
ni Kiongozi wa Msafara na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya
Utawala na Serikali za Mitaa kutoka Bunge la Msumbiji, Mhe. Lucas
Jeremias.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
SPIKA NDUGAI APATA UGENI KUTOKA BUNGE LA MSUMBIJI LEO OFISINI KWAKE MJINI DODOMA
Reviewed by crispaseve
on
09:45
Rating:
Post a Comment