WATANZANIA WANG'ARA MAREKANI.
Wanafunzi
watatu wa shule ya sekondari ya FEZA BOYS Dar es Salaam wamenyakua
medali za dhahabu huko Marekani katika mashindano ya uwezo wa kitaaluma
ya GENIUS OLYMPIAD yaliyoshirikisha nchi 63 Duniani. Walionyakua medali
hizo ni wanafunzi Abdulrazak Juma Mkamia,Rashid Jakaya Kikwete na
Abdallah Rubeya
WATANZANIA WANG'ARA MAREKANI.
Reviewed by crispaseve
on
09:42
Rating:
Post a Comment