Header AD

BANDARI YA ZANZIBAR YAICHAPA FALCON KATIKA LIGI KUU YA ZANZIBAR

 Mchezaji wa Falcon (kulia) akimkwatua mshambuliaji wa Bandari. Katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar uliochezwa kwenye Uwanja wa Aman jana, Bandari ilishinda maba 2-0 dhidi ya Falcon. 
 Wachezaji wa Bandari na Falcon wakigombea mpira kwenye pambano lao la ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kwenye uwanja wa Amaan jana.
Mlinzi Rashid Omar wa Bandari (kulia) akimzuia mshambuliaji wa Falcon, Mbarouk Marshed.Picha zote na Martin Kabemba.
Reviewed by crispaseve on 10:36 Rating: 5

No comments

Post AD