Header AD

MABLOGGER KUTOKA JIJI LA DAR WAKI SHOW LOVE

Wana wa blog Kutoka Jiji la Dar wakiwa katika Picha ya Pamoja mara baada ya kukutana katika kazi ndani ya viwanja vya leaders mwisho wa wiki iliyopita.Kutoka Kushoto ni Josephat Lukaza wa Lukaza Blog, Jeffy Msangi wa Bongo Celebrity, Cathbert Angelo wa Kajunason Blog, Ahmad Michuzi wa Jiachie Blog, Na Mdau kutoka Bongo 5 na Othman Michuzi wa Mtaa Kwa Mtaa Blog. Inapendeza sana Kuona mnakutana sehemu na mnabadilishana mawazo mawili matatu
Reviewed by crispaseve on 09:44 Rating: 5

No comments

Post AD