MAMA SHARO AZIDI KULILIA HAKI ZA MWANAYE
MAMA wa aliyekuwa msanii wa muziki na filamu, Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’, Zainabu Mkiety, bado yuko kwenye maumivu ya kudhulumiwa haki za mwanaye jambo linaloongeza simanzi moyoni mwake.
Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, mama huyo alidai kushangaa kuona wahusika waliokuwa wakifanya kazi na Sharo Milionea wanakaa kimya juu ya malipo ya kazi hizo ambazo marehemu aliacha akidai.
MAMA SHARO AZIDI KULILIA HAKI ZA MWANAYE
Reviewed by crispaseve
on
23:02
Rating:

Post a Comment