Dkt. Shein Aweka Jiwe la Msingi la Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani.
Hivi ndivyo utakavyokuwa Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi unaojengwa katika viwanja vya Michezani Unguja Zanzibar.
Hatua ya mwazo ya ujenzi wa mnara huo inaendelea na ujenzi wake unaojengwa na Kampuni ya CRJE ya China.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed
Shein, akimsikiliza Mshauri Ujenzi wa Mnara huo Bwa Habibu Nuru, wa Kampuni
ya Hab Consult, alipofika kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Mnara huo
unaojengwa katika maeneo ya Michezani Kisonge Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed
Shein, akiondoa kipazia kuashiria kuweka jiwe la msingi la Mnara wa
kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed
Shein, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na
Viongozi wengine wakifurahia uwekaji wa jiwe hilo la Msingi na Rais wa
Zanzibar.
Dkt. Shein Aweka Jiwe la Msingi la Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani.
Reviewed by crispaseve
on
12:47
Rating:

Post a Comment