Header AD

AZAM FC WAPOKELEWA KWA SHANGWE JIJINI DAR ES SALAAM

Mapokezi Azam Fc1
Basi lililowabeba wachezaji wa Azam.
Baada ya kuweka rekodi mpya ya kutwaa taji la ligi ya mabingwa Tanzania bara, wanalambalamba wa Azam wametua leo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere na kulakiwa kwa shangwe na mamia ya mashabiki na wapenzi wa timu hiyo.
Azam wapokelewa uwanja wa ndege Azam   Mapokezi Azam Fc2 Wachezaji wa Azam FcMapokezi Azam Fc
AZAM FC WAPOKELEWA KWA SHANGWE JIJINI DAR ES SALAAM AZAM FC WAPOKELEWA KWA SHANGWE JIJINI DAR ES SALAAM Reviewed by crispaseve on 14:11 Rating: 5

No comments

Post AD