Header AD

washindi wa droo ya nane ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti wakabidhiwa zawadi zao

 Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo(wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa droo ya nane ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao mapema leo katika Kiwanda cha Bia cha Serengeti jijini Dar es Salaam kutoka kushoto Henry Martin, Bruno Thobias na Alex Vicent(wa kwanza kulia) ambao wamejipatia ving’amuzi na simu aina ya Samsung Galaxy Tablet. 
 Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo(kushoto) akiongea kwa njia ya simu na mmoja wa washindi wa droo ya tisa ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti wakati wa droo ya tisa iliyofanyika mapema leo jijini Dar es Salaam, anayemshuhudia ni Afisa Mwandamizi kutoka PWC Golder Kamuzora. 
Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo(wa pili kulia) akitoa ufafanuzi wa jambo kwa wana habari mara baada ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa droo ya nane ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti mapema leo katika Kiwanda cha Bia cha Serengeti jijini Dar es Salaam kutoka kushoto ni Bruno Thobias,  Henry Martin na Alex Vicent (wa kwanza kulia).
washindi wa droo ya nane ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti wakabidhiwa zawadi zao washindi wa droo ya nane ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti wakabidhiwa zawadi zao Reviewed by crispaseve on 02:09 Rating: 5

No comments

Post AD