Header AD

MIKUTANO YA HADHARA YA WAZIRI WA UJENZI NA MBUNGE WA CHATO DKT. JOHN MBUNGE KATIKA KATA MBALIMBALI.

 Mbunge wa Jimbo la Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Wanachama wapya wa Chama cha Mapinduzi (CCM) walioamua kujiunga na chama hicho mara baada ya Mbunge huyo kufanya Mkutano mkubwa wa hadhara katika kijiji cha Nyabugela, kata ya Mganza katika Wilaya ya Chato leo.
 Mbunge wa Jimbo la Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli kihutubia mamia ya wakazi wa kata ya Mganza katika Wilaya ya Chato leo
 Wananchi wa Kata ya Mganza wakimfurahia Mbunge wa Jimbo lao la Chato Mheshimiwa Dkt. John Magufuli wakati akiwahutubia na kuwasisitiza wafanye kazi kwa bidii ili waweze kujiletea Maendeleo
 Mbunge wa Jimbo la Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akiwapokea wanachama wapya zaidi ya 100  walioamua kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM mara baada ya mbunge huyo kumaliza hotuba yake
Wanachama wapya wa Chama cha Mapinduzi kata ya Mganza wakila kiapo mbele ya Mbunge wao Mheshimiwa Dkt.John Magufuli ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi baada ya kukabidhiwa kadi za uanachama hivi leo
MIKUTANO YA HADHARA YA WAZIRI WA UJENZI NA MBUNGE WA CHATO DKT. JOHN MBUNGE KATIKA KATA MBALIMBALI. MIKUTANO YA HADHARA YA WAZIRI WA UJENZI NA MBUNGE WA CHATO DKT. JOHN MBUNGE KATIKA KATA MBALIMBALI. Reviewed by crispaseve on 03:15 Rating: 5

No comments

Post AD